Tafadhali jibu maswali 5 kuhusu jina lako la kwanza: Jina lako:

Juma

Je, jina lako ni Juma? Tafadhari jibu Maswali matano kuhusu jina lako ili kuimarisha profili hii

Maana:
Jinsia:Kiume
Asili:
Sauti sawa wavulana:John, Jackson, Johan, Jayson, Jimmy, Joachim, Jason, Jean
Sauti sawa wasichana:Joan, Jasmine, Joanna, Jemima, Johana, Joina, Joana, Johanna
Kadirio:
4.5/5
nyota 18 kura
Rahisi kuandika: 4.5/5 nyota 14 kura
Rahisi kukumbuka: 5/5 nyota 15 kura
Matamshi: 4.5/5 nyota 15 kura
Matumshi ya Kiingereza: 4.5/5 nyota 15 kura
Maoni ya wageni: 4.5/5 nyota 14 kura
Utani:Isuki, Man Tisha, Hapana, Kidaftali,ngamia, Malima, Kousm, Johyas, Ts, Jayfx, Buja, Talent Sovouivor, Ronaldinho, Khan, Kipele, Riziwani, Yudaah, Sele
Majina ya kaka:Ayubu, Hamisi, Said, Adam, Hapana, Baruti, Alzan, Raheem, Athumani, Ezekiel, Marco, Vedastus, Omary, Pater, Joseph, Bakari, Abdu, Fredy, Wiston, Swaumu, Habibu, Hippolytus, Ismail, Hassan, Azizi, Iddi, Majaliwa, Ezekia, Dominick Magesa, Selemani Majina zaidi
Majina ya dada:Halima, Mwasity, Fatina, Amina, Hapana, Zuhura, Rehema, Teddy, Mwajabu, Zainabu, Sharifah, Rabia, Nuru, Zubeda, Asia, Tatu, Sumaiya, Anna, Khadija, Jamila, Sikudhani, Zaina, Shamimu, Shamim, Zulfa, Latifah, Winfrida, Mariamu, Nia, Kawthar Majina zaidi
Facebook:

+/- 5225 Juma kwenye Facebook. Nafasi # 3 s
Makundi:Majina na 4 barua - Majina ya Kiafrika - Majina na 2 silabi - Rahisi kukumbuka majina - Rahisi ya kuandika majina - majina Boy na kura nyingi zaidi - Rahisi kukumbuka majina mvulana - Popular Swahilian majina mvulana - Majina ya mvulana yenye herufi 4 - Majina ya mvulana yenye silabi 2




Maoni ya Juma


Juma ( Umri wa miaka 28) 2016-08-27
Tukumbuke kuswali,swala tano za mwenyezi mungu kila cku
Juma ( Umri wa miaka 36) 2016-11-26
Ningependa nijue maana ya jina langu na sifa zake,nifanye kazi gani kulingana na jina langu, nani naweza kumuoa nani naweza kushirikiana nae katika maisha ya utafutaji na nguo gani au rangi gani ya bahati kwangu
Juma ( Umri wa miaka 25) 2017-05-28
nalipenda nataka nijue maana yake na kazi zipi zinanihusu na vitu gani nisifanye.na mimi ni mwanamuziki nataka nilichambue hilo hilo juma lilete jina zuuuuri lenye kupendwa na kila mtu
Juma ( Umri wa miaka 23) 2017-08-31
Tanzania
Juma ( Umri wa miaka 30) 2017-12-09
Naitaji kujua nyota yangu kutokana na jina langu
Nyota Yangu Ninyota Gani Mm Ni Juma ( Umri wa miaka 34) 2018-04-30
ningependakujua sifaya jinalangu
Juma 2019-04-23
Yap nalipenda na ninajivunia kuitwa juma kutokana jina hili limenipa namba ya uislam maishan mwangu kwahyo najivua juu ya molla wangu kwa wazazi wangu kupewa ilham na kunipa jina hili na ninatumai ntakuwa mtu mkubwa siku moja inshaaallah.gur avez
Juma ( Umri wa miaka 23) 2020-06-11
nahisi jina langu halina nyota coz sina mvuto,watu wananidharau nk
Juma ( Umri wa miaka 19) 2022-09-25
Sina
Juma ( Umri wa miaka 32) 2023-03-31
NATAKA KUJUA MKE ANAYEFAA KUOWA ANAAZIA NA HERUFI GAN

Andika ujumbe
Je, ungependa kuchapisha maoni? Weka jina lako na ubonyeze ijayo:

Jina lako la kwanza:

Je, jina lako ni Juma? Pigia kura jina lako


Je, jina lako ni Juma? Pigia kura jina lako