Maoni yangu kuhusu jina langu ni kuwasihi watu kulitaja kwawingi nakuwaita watoto wao jina hilo
Ahmad ( Umri wa miaka 29) 2019-10-01
Jina langu ni nzuri na ningependa watu wengi wawaite watoto zao Ahmad kwani ni jina lenye baraka
Ahmad ( Umri wa miaka 27) 2019-12-30
Jina Langu ni la kipekee kwani nijina linalo ishia na alama ya mshangao na jina gumu kutamkwa na pia lina maana kubwa sana na wengi ambao hutumia jina hili huwanatabia zatofauti sana na wengine hivyo huwashangaza wengi kutokana na vile wanavyotuchukulia pia wengi wao huwa na nguvu kubwa ambapo ni ngumu kuwatambua kwani siyo watu wanaopenda kujionesha ni watu wasili sana pia ni watu wenye ndoto kubwa sana maishani mwao hawapendi kuuziwa wala kutawaliwa hakika jina la ahmad lina maajabu makubwa sana kuliko vile watu wanavyo lichukulia kimtazamo
Ahmad ( Umri wa miaka 28) 2022-11-23
Jina langu linapendwa sana
Andika ujumbe
Je, ungependa kuchapisha maoni? Weka jina lako na ubonyeze ijayo: